test

Jumapili, 17 Februari 2019

Ukimfanyia haya mkeo ndoa yako itakua na furaha siku zote.


Mpende mke wako mzuri
Usimkaripie mke wako ukiwa unaongea nae. Inamuumiza sana.
Mithali 15:1

Usimuongelee ubaya kwa mtu yeyote. Mke wako atakua kile ambacho unamuita
Mwanzo 2:19

Read More

Tatua tatizo la uume mdogo


Natumai mu-wazima nyote. Bila ya kupoteza muda ningependa kutoa hii tiba hapa kwa wale wanaosumbuliwa na tatizo la sehemu zao za siri kuwa ndogo/fupi (hasa kwa wanaume).

Tatizo hili limekuwa likiwakosesha wanaume wenye tatizo hili amani na hata raha ya kuwa na mahusiano na wenza wao. Ni tatizo linalosababisha mahusiano mengi kutodumu na kuathiri sana wengi wao psychologically.

Hupelekea mtu kuamua kuwa mwenyewe pasina mahusiano akihofia kutodumu kwa mahusiano hayo au hata kudhalilishwa mbele za watu hasa anapokuwa na mpenzi asiye mstaarabu au pale mapenzi yanapofika kikomo siri za ndani zote hutolewa hadharani. Mtu huona ni bora kuwa peke au kutafuta ONE NIGHT STAND (machangudoa) au kufanya masturbation ili kumaliza hamu yake wakati bila kujua kwa njia moja au nyingine ndio anazidi kujiumiza na kufanya tatizo kuwa sugu kabisa na kusababisha matatizo mengine kama kulegea kwa uume n.k.


Nini cha kufanya ?.
Sitaki kusema kuwa watu wanione PM ili niwape dawa HAPANA ; Dawa ntaitoa hapahapa na maelekezo yake yote jinsi gani ya kufanya, na kwa mwenye swali lolote ataniuliza kama hajaelewa sehemu au kama atahitaji kusaidiwa kutengeneza hiyo dawa ni sawa pia na ni bure kabisa. Narudia tena ni BURE kabisa coz niko hapa kusaidia.

Sasa, kama utakuwa na ndugu, rafiki, jamaa yako wa karibu au hata kama ni mpenzi wako (kwa wanawake) waweza kumsaidia ili aweze kuondokana na tatizo hilo In Shaa Allah.


Mahitaji :-
1 ). Mafuta ya Zaituni (Olive Oil).
2 ). Hartiti kichupa kidogo.
3 ). Maji ya moto kiasi si sana.


Utayarishaji.
- Chukua mafuta ya Zaituni (Olive Oil) kiasi cha 100ml na Hartiti kiasi cha kichupa kimoja kidogo.

- Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka vichanganyike sawasawa kabisa, ukishamaliza hapo hatua ifuatayo ni...


Matumizi.
- Jinsi ya kutumia yatakiwa kuchukua mchanganyiko wako na kuanza kuichua dhakari/uume wako kiasi cha kuhakikisha imepata msisimko. Fanya hivyo kiasi cha mara tatu hivi.

- Baada ya hapo iache dhakari/uume wako kwa kiasi cha dakika 5 hadi 10.

- Kisha ioshe kwa maji moto uliyokwisha yaandaa kabla. Baada ya kuiosha tu chukua unga kidogo wa Hartiti kisha ingiza kwenye tundu ya dhakari yako vizuri. Ingiza unga kidogo tu kutokana na tundu yenyewe kuwa ni ndogo hivyo ingiza unga kiasi tu wa Hartiti.

Baada ya dakika 3 hadi 5 kuna mabadiliko utayahisi kuwa dawa yaanza kufanya kazi. Fanya zoezi hili kwa muda wa siku 15 hadi 21.

Kwa yeyote mwenye swali aweza kuniuliza aidha hapa ama pm ni ruksa tu vile upendavyo, na pia nawahakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega na wale ambao ni wagonjwa wa tatizo hili kwa maswali, maoni au ushauri usisite kuniuliza chochote utakachojiskia.


Read More

Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Tendo la Ndoa na Mkewe


Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Tendo la Ndoa na Mkewe
Nakusogezea stori kumhusu Joseph Ojur mwenye miaka 52 mkazi wa ukanda wa  Kabagu katika manispaa ya Njeru amejinyonga mpaka kufa jumapili ya June 3 baada ya kunyimwa ‘unyumba’ na mkewe.

Ojur anasemekana kumwambia mkewe kuwa alifanya vipimo vya ugonjwa wa UKIMWI na akakutwa nao. Na tangu amwambie mkewe hivyo amekuwa akinyimwa ‘unyumba’.

Kamamnda wa Polisi eneo la Njeru, Christopher Tuhunde amesema kuwa, marehemu alijinyonga ndani ya nyumba yake na jeshi hilo linaendelea kuchunguza kwa undani juu ya tukio hilo ili kuja na ripoti kamili kuhusiana na kujinyonga kwa Ojur.

Hata hivyo Tuhunde amewashauri wakazi wa eneo hilo kupenda kuomba ushauri kwa wenzao juu ya matatizo yanayowakabili kuliko kukimbilia kujiua.
Read More

Aina 12 Ya Wanawake Ambao Watayafanya Maisha Yako Kuwa Magumu


Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake. Katika mahusiano, utapata kuwa wanawake wanakuwa na tabia ambazo aidha zinawapendeza wanaume wao ama zinawachukiza.
Read More

Ijumaa, 15 Februari 2019

Nembo maalum ya mashindano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U17) yazinduliwa...Mwakyembe Aifagilia


Nembo maalum ya mashindano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U17) imezinduliwa leo  Alhamisi February 14  jijini Dar es Salaam.

Hafla ya uzinduzi wa nembo hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Taifa jijini chini ya Usimamizi wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe.


Mwakyembe ameipongeza Nembo hiyo  na kusema kuwa  imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuitangaza Tanzania hasa vivutio vya utalii.

"Nembo hii imebeba vitu vikubwa vitatu katika nchi yetu na mashindano haya. Kwanza imebeba dhana ya utalii. Kivutio chetu kikubwa cha Tanzania Kimataifa ni mlima Kilimanjaro. Tunauona hapa.

Lakini pili imebeba dhana ya uhifadhi. Tumeambiwa kuna pembe ya tembo na ya kifaru. Ambao ni wanyama wetu tunaowahifadhi kwa nguvu zetu zote. Tatu, yote haya yanahusu michezo na ndio maana kuna mpira," alisema Dk Mwakyembe.

Mkurugenzi wa masoko wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Aaron Nyanda alisema kuwa nembo hiyo imechorwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania.

"Tulianzisha mchakato kwa watu kubuni nembo ambayo tumeipata hii inayoonyesha vivutio vilivyopo hapa nchini. Na mshindi aliyeshinda atapata fursa ya kwenda nchini Peru ambako kutafanyika Fainali za Dunia kwa vijana wa umri huo iwapo tutafanikiwa kufuzu," alisema Nyanda.

Read More

Jumatano, 13 Februari 2019

Kocha wa zaamani Yanga akubali mziki wa Simba, apagawa na Mkude


Kocha wa zamani wa Yanga Kenny Mwaisabula ‘Mzazi’baada ya Simba kuifunga Al Ahly uwanja wa taifa, ameshangaa ilikuwaje Simba ikafungwa 5-0 na waarabu hao ilipokuwa ugenini.
“Simba wamecheza vizuri, nimekuwa najiuliza maswali mengi ilifungwaje 5-0 kwenye mechi ya awali wakati uwezo wa Al Ahly umeonekana wakawaida sana”-Kenny Mwaisabula.
“Mkude amecheza vizuri, kila aina ya pasi aliyopiga ilikuwa nzuri ni moja kati ya viungo bora katika mechi hii.”
Angalia full video hapa chini #YouTube kwenye channel yangu ya #DaudaTV bofya PLAY▶kuangalia mwanzo mwisho.
Read More

Simba yajipigia tu waarabu taifa


Simba imeibuka na pointi tatu kwa mara nyingine dhidi ya waarabu uwanja wa taifa kwenye michuano ya Caf Champions League hatua ya makundi.

Waarabu wa kwanza kuchezea kichapo cha Simba walikuwa JS Saoura kutoka Algeria ambao walichapwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi.

Simba sasa imefikisha pointi sita (6) kwenye Kundi C ikiwa nyuma kwa pointi moja dhidi ya Al Ahly ambayo inaongoza kundi hilo kabla ya mchezo wa Saoura vs AS Vita.

Simba imejiweka sehemu nzuri ya kufuzu hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya ushindi wa leo.

KUNDI C
Kila timu imepoteza walau mchezo mmoja
Simba 3-0 Saoura
AS Vita 5-0 Simba
Al Ahly 5-0 Simba
Simba 1-0 Al Ahly

Al Ahly 2-0 AS Vita
Saoura 1-1 Al Ahly
Al Ahly 5-0 Simba
Simba 1-0 Al Ahly

Al Ahly 2-0 AS Vita
AS Vita 5-0 Simba
AS Vita 2-2 Saoura

Simba 3-0 JS Saoura
JS Saoura 1-1 Al Ahly
AS Vita 2-2 Saoura

Timu zote za Kundi C zimepata matokeo zikiwa kwenye viwanja vya nyumbani, hakuna timu iliyoshinda ikiwa ugenini.
Read More

Jumapili, 10 Februari 2019

Ijumaa, 4 Januari 2019

Jumanne, 31 Julai 2018

Habarika Masaa 24......Pakua Application Yetu Tukuhabarishe Usiku na Mchana


Jumamosi, 16 Juni 2018

Ratiba Ya Mechi Zote Kombe La Dunia Hadi Fainali


 Fainali za Kombe la Dunia 2018  zilianza rasmini June 14 nchini Urusi ambapo Saud Arabia walitandikwa bao 5-0.

Tazama  hapa  ratiba ya mechi zote za michuanpo hiyo kuanzia ile ya ufunguzi hadi fainali yenyewe.
Read More

Breaking News: Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha TANO, Vyuo vya Ufundi na Vyuo vya Elimu ya Kati kwa mwaka 2018


Wanafunzi 70,904 waliohitimu kidato cha nne mwaka jana wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi na vya elimu ya kati kwa mwaka 2018, huku wengine 21,808 waliokuwa na sifa za kuchaguliwa wakiachwa.
==>>Orodha Yote ya Majina iko hapo chini
NB:  Server iko bize kidogo, endelea kurefresh kama itakuwa inagoma kufunguka

Read More

Alhamisi, 14 Juni 2018

Michuano ya Kombe la Dunia Kuanza Leo Urusi


Related image
Michuano ya Kombe la Dunia ya Fifa ya mwaka 2018 inaanza leo nchini Urusi ambapo Urusi watacheza dhidi ya Saudi Arabia baada ya kufanyika kwa sherehe ya ufunguzi katika uwanja wa Luzhniki, mjini Moscow.

Mechi hiyo itaanza saa kumi na mbili jioni saa za Afrika Mashariki.

Michuano hiyo itashirikisha mataifa 32, wakiwemo mabingwa watetezi Ujerumani, na itakuwa na mechi 64 zitakazochezwa katika kipindi cha siku 32.

Fainali itachezwa 15 Julai.

Fainali za sasa za Kombe la Dunia ambazo ni za 21 zitachezwa katika viwanja 12 katika miji 11 nchini Urusi, ambayo inapatikana eneo la upana wa maili zaidi 1,800.

Kutokana na hili, kutakuwa na tofauti kubwa katika wakati mechi zinachezwa.

Ujerumani, waliowashinda Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia 2014, wanapania kuwa taifa la kwanza kushinda kombe hilo mtawalia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1962.
Read More

Jumanne, 12 Juni 2018

Je Wajua Kuwa Unapofanya Mapenzi na Mtu Unaweka Agano la Damu?


Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana!

Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu.

Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mwenzi wako alichepuka na kufanya maagano: ugomvi, mapigano, kutishiana, chuki na hata kutaka kuuana hakuishi kila leo! Swala sio wivu kwamba unahisi mwenzi wako anakusaliti au kuhitilafiana katika mambo tu ya kawaida, issue ni yale maagano ya damu ambayo "hudemand price"!

Mara nyingi unasikia watu wanalalamika kuhusu tabia za watoto "huyu mtoto tabia kaichukua wapi, mbona baba na mama yake au ukoo wao hawako hivyo?". Chanzo cha tabia za ajabuajabu za watoto ni matokeo ya michepuko iliyofanya maagano na watu/koo zingine zenye laana. Laana na matatizo yanayoletwa na agano la damu katika familia havihitaji mtu kuchepuka na kuzaa nje ya ndoa, bali tu kuhusiana katika mapenzi!

Mimi nilipoingia kwenye mahusiano na mke wangu nilivunja maagano yote kwa jina la Yesu. Lakini kumbuka kuwa huwezi kuvunja maagano kama vile ya michepuko kwa jina la Yesu ili "kufavor your own evil deeds"!

Maagano yanayofanywa na watu kwa njia ya mapenzi huenda vizazi hadi vizazi. Hii ni sawa kabisa kwa mjibu wa sayansi kwani "hereditary information" kutoka kizazi hadi kizazi hubebwa na viasili vilivyopo katika damu, mfano DNA.
Pasco anaweza kuendeleza hii mada kwa uchambuzi zaidi.

Mie na mke wangu tuna furaha fulltime kwa sababu mapenzi yetu yananawiri kila kukicha, na huwa hatuelewi kabisa matatizo katika ndoa za watu yanatokana na nini! "We are the happiest couple" kwa sababu "we posses several life secrets" mojawapo ni siri kuhusu agano la damu!

Tambueni ya kwamba one of the great decisions a person can make in his/her life ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi (hata kwa dakika moja) na mtu kwa sababu anafanya naye life covenant "blood covenant"!
We teach you things that matter most!
- LifeHacker
Read More

Kila Msichana Ninae Mtongoza Ananiomba Hela...Whats This?


Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....

Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama?

Naomba ushauri
Read More

Orodha yote ya washindi wa tuzo za Mo Simba Awards 2018


Jumatatu usiku  mdhamini mkuu wa Mabingwa wa Ligi Kuu Bara klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji aliandaa tuzo maalum ‘Mo Simba Awards 2018’ zilizofanyika Hyatt Regency jijini Dar es salaam kwaajili ya kuwapongeza wachezaji wa klabu hiyo waliofanya vizuri mwaka huu.


WASHINDI WA TUZO ZA MO SIMBA 2018
1.   GOLIKIPA BORA WA MWAKA
A.  Aishi Manula - WINNER
B.  Said Mohamed 'Nduda'
C.   Emmanuel Elias Mseja
2.   BEKI BORA WA MWAKA
A.  Yusuph Mlipili
B.  Erasto Nyoni - WINNER
C.  Shomari Kapombe
3.   KIUNGO BORA WA MWAKA
A.  Jonas Mkude
B.  James Kotei
C.  Shiza Kichuya – WINNER
4.   MSHAMBULIAJI BORA WA MWAKA
A.  Emmanuel Okwi - WINNER
B.  John Bocco
C.  Shiza Kichuya
5.   MCHEZAJI BORA MWANAMKE WA MWAKA
A.  Rukhia Salum
B.  Zainabu Rashidi Pazzi - WINNER
C.  Dotto Makunja
6.   MCHEZAJI BORA MDOGO WA MWAKA
A.  Ally Salim (GK)
B.  Rashid Juma – WINNER
C.  Salumu Shabani
7.   GOLI BORA LA MWAKA
-      John Bocco (Simba VS Mwadui)
8.   TUZO YA BENCHI LA UFUNDI
A.  Pierre Lechantre – Kocha Mkuu
B.  Masoud Djuma – Kocha Msaidizi
C.  Mohamed Aymen – Kocha wa Viungo
D.  Muharam Mohamed – Kipa wa Makipa
E.  Richard Robert – Meneja wa Timu
F.   Yassin Gembe – Daktari wa Timu
G.  Abbas Selemani – Mratibu
9. SHABIKI BORA WA MWAKA
- Fihi Salehe Kambi
10. MHAMASISHAJI BORA WA MWAKA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII
A.  Hamis Mwinjuma (Mwana FA) - WINNER
B.  Salama Jabir – WINNER
C.  Zitto Kabwe
D.  Vyonne Cherrie (Monalisa)
E.  Omary Nyembo (Ommy Dimpoz)
11. MHAMASISHAJI BORA
- Haji Manara
12. TAWI BORA LA MWAKA
A.  Wazo Hill
B.  Ubungo Terminal - WINNER
C.  Vuvuzela
13. KIONGOZI BORA WA MWAKA
          - Kaimu Rais wa klabu ya Simba, Salim Abdallah Muhene
14. TUZO YA WASIMAMIZI WA MCHAKATO WA MABADILIKO

  • A.  Jaji Mstaafu Thomasi Mihayo
  • B.  Wakili Damasi Ndumbaro
  • C.  Abdulrazak Badru 
  • D.  Mussa Hassan Zungu
  • E.  Yusuph Nassoro
  • F.  Brenda Mrema
  • G. Mzee Hamis Boma
  • H.  Revocatus Cosmas Sangu
  • I.    Hashim Nyendage
  • J.   Gervas Alpha Honest
  • K.  Emmanuel Metusela Urembo
  • L.   Mulamu Nghambi
  • M. Selemani Omari
  • N.  Aziz Kifile
  • O. Salim Abdallah Muhene
  • P.  Arnold Kashembe
  • Q. Omari Bakari Mtika
  • R.  Evodius Mtawala

15. TUZO YA HESHIMA (LIFETIME ACHIEVEMENT)
        - Selemani Matola – WINNER
16. MCHEZAJI BORA WA MWAKA
A.  Emmanuel Okwi
B.  John Bocco - WINNER
C.  Shiza Kichuya
Read More