test

Jumatano, 13 Februari 2019

Kocha wa zaamani Yanga akubali mziki wa Simba, apagawa na Mkude


Kocha wa zamani wa Yanga Kenny Mwaisabula ‘Mzazi’baada ya Simba kuifunga Al Ahly uwanja wa taifa, ameshangaa ilikuwaje Simba ikafungwa 5-0 na waarabu hao ilipokuwa ugenini.
“Simba wamecheza vizuri, nimekuwa najiuliza maswali mengi ilifungwaje 5-0 kwenye mechi ya awali wakati uwezo wa Al Ahly umeonekana wakawaida sana”-Kenny Mwaisabula.
“Mkude amecheza vizuri, kila aina ya pasi aliyopiga ilikuwa nzuri ni moja kati ya viungo bora katika mechi hii.”
Angalia full video hapa chini #YouTube kwenye channel yangu ya #DaudaTV bofya PLAY▶kuangalia mwanzo mwisho.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni