test

Jumatano, 21 Septemba 2016

VIDEO: Magoli ya jana Leicester vs Chelsea Septemba 20 2016, Full Time 2-4


Usiku wa Septemba 20 2016 michuano ya Kombe la EFL iliendelea tena England kwa michezo 7 kupigwa katika viwanja mbalimbali, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England walicheza dhidi ya Chelsea na kukubali kipigo cha goli 4-2 licha ya kuwa hadi dakika 45 za kwanza walikuwa mbele wao kwa goli 2-0.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx