test

Jumanne, 16 Mei 2017

VIDEO: ‘Mnawezaje kuwafundishia wanafunzi vitabu vyenye makosa?’ -Doto Biteko


Mbunge wa Bukombe Doto Biteko amehoji ndani ya bunge sababu ya serikali kuendelea kukaa kimya baada ya kubainika kuna baadhi ya vitabu vilivyotolewa kwenye shule nchini vikiwa na mapungufu ya kitaaluma na kupelekea wanafunzi kupata elimu isiyo stahiki.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni