test

Jumanne, 16 Mei 2017

VIDEO: “Waziri liangalie hili ili hata vilaza wenzangu wakasome” – Mbunge Agnes Marwa



Bunge limeendelea na shughuli zake leo May 15, 2017 ambapo moja ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM, Agnes Marwa ambaye alisimama na kulieleza Bunge kuhusu maombi ya baadhi ya wanafunzi wa mafunzo ya ziada, yaani QT ambao wametakiwa kuwa na ufaulu mkubwa zaidi ili kukidhi vigezo tofauti na wanafunzi wa kawaida.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni