| Balozi wa Congo nchini,Jean Mutamba (kushoto), akizungumza katika hafla hiyo. |
| Mmiliki wa Kampuni ya Simba Logistic ambayo magari yake na madereva walitekwa, Azim Dewj (kushoto), akizungumza katika hafla hiyo ya kuwapokea madereva hao. |
| Madereva hao wakipokelewa uwanjani hapo. |
| Mbwana Said (kulia), akielezea jinsi walivyotekwa. |
