test

Ijumaa, 1 Juni 2018

VIDEO: Nitaolewa Mungu Akinipa Mume Nina Hisia na Mimi, Diamond Atasubiri - Queen Darleen


Msanii kutoka lebo ya WCB ambae pia ni Dada wa Diamond Platnumz, Queen Darleen ambae ametamba na ngoma ya Touch ambayo imetengezwa na studio ya Wasafi, amesema kuwa yeye pia ana hisia na upendo na anapenda hivyo kuhusiana na yeye kuwa na ndoa Ataolewa hadi mungu atakapompatia, na Diamond atasubiri sana hadi yeye aolewe.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni