Katika post yake huko IG Nay amesifia kazi nzuri na kumlaumu Diamond kwa kupuyanga na "Mapugi machafua nyota" .
Aidha,Nay amesema anafanya mpango aongee na mama Tee ili yaishe jambo hilo limemfurahisha Zari ambapo amelike na Kukomenti post hiyo kwa kuweka emoji ya Kusalimu amri...
Je hii ni ishara kwamba Mama Nillan yuko tayari kurudi Madale?
0 comments:
Chapisha Maoni