test

Jumapili, 6 Mei 2018

Rapa Stamina na mchumba wake wafunga ndoa


Hatimaye rapa Stamina amefunga ndoa  na mchumba wake wa muda mrefu ajulikanaye kwa jina la Veronica jana Mei 05, 2018 mjini Morogoro katika kanisa la Mtakatifu Consolata lilipo maeneo ya SUA mjini humo.

Kwenye harusi hiyo, Wasimamizi walikuwa ni swahiba wake Roma Mkatoliki na Mkewe Nancy .

Mwaka jana rapa Stamina alimvisha pete ya uchumba mchumba wake huyo.

Tazama baadhi ya picha hapa chini za tukio hilo.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni