Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema
Mkuu wa mkoa yoyote atakaye omba chakula kwake atakuwa ameomba kufukuzwa
kazi.
Rais
Magufuli ameyasema hayo jana, Mey 5, 2018 kwenye ufunguzi wa daraja la
Kilombero, ambapo alisema kuwa haiwezekani mvua inyeshe halafu watu
wakose chakula.
“Mkuu
wa Mkoa atakayeniomba chakula, atakuwa anaomba kufukuzwa kazi, kwa
sababu haiwezekani mvua inyeshe hivi, halafu wakose chakula,” alisema
Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli alisema kuwa “maandiko yanasema asie fanya kazi na asile na asipo kula afe, hakuna chakula cha bure.”
0 comments:
Chapisha Maoni