test

Jumapili, 6 Mei 2018

Rais Magufuli: RC atakayeniomba chakula, atakuwa anaomba kufukuzwa kazi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema Mkuu wa mkoa yoyote atakaye omba chakula kwake atakuwa ameomba kufukuzwa kazi.

Rais Magufuli ameyasema hayo jana, Mey 5, 2018 kwenye ufunguzi wa daraja la Kilombero, ambapo alisema kuwa haiwezekani mvua inyeshe halafu watu wakose chakula.

“Mkuu wa Mkoa atakayeniomba chakula, atakuwa anaomba kufukuzwa kazi, kwa sababu haiwezekani mvua inyeshe hivi, halafu wakose chakula,” alisema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli alisema kuwa “maandiko yanasema asie fanya kazi na asile na asipo kula afe, hakuna chakula cha bure.”

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni