test

Ijumaa, 16 Juni 2017

Serikali yalifungia gazeti la MAWIO kwa kukiuka maagizo


Alhamisi ya Juni, 15 Serikali ilitangaza kulifunga gazeti la MAWIO kutochapishwa kwa muda wa miezi 24, sababu ikitajwa kuwa ni kuchapisha mbele picha ya Marais wastaafu, Mkapa na Kikwete na kuwahusisha na sakata la mchanga wa madini. 
 
==>Hapo chini kuna video ya Mkurugenzi Mtendaji wa Habari-MAELEZO, Dk. Hassan Abbas akitangaza kulifunga gazeti hilo.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni