test

Jumapili, 11 Juni 2017

Basi la BATCO Lateketea Kwa Moto


Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW limeteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butiama Mkoani Mara. Gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.

Chanzo cha Moto huo bado hakijafahamika.Taarifa za awali kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo pamoja na abiria wameeleza kuwa baadhi ya mali za abiria zimeteketea kwa moto na hakuna mtu aliyepoteza maisha.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni