test

Jumapili, 19 Februari 2017

Makamanda wa jeshi wajiuzulu Sudan Kusini



Maafisa watatu wakuu wa kijeshi ndani ya serikali ya Sudan Kusini, wamejiuzulu.
Makamanda hao wamejiondoa serikalini wakimlaumu Rais Salva Kiir kwa kuhusioka katika uhalifu wa kivita na mauwaji yanayolenga kabila fulani.
  • Kiir: Wanajeshi wanao baka raia wauawe
  • Sudan Kusini kwenye hatari ya kukumbwa na njaa
Brigedia Henry Oyay Nyago, anamshutumu Rais, ambaye anatoka katika kabila la Dinka, kwa kuamuru kuwawa kwa watu wasiotoka katika kabila hilo la Dinka.
Kanali Khalid Ono Loki, pia anamlaumu kiongozi mkuu wa jeshi kwa mauwaji ya kimbari, kukamatwa na kuwazuilia watu kiholela.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx