test

Jumatatu, 21 Novemba 2016

RC Makonda: Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi Serikalini


"Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu,
kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

CHANZO: EATV

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx