test

Alhamisi, 7 Mei 2015

READ!!! DADA YAKE ADEBAYOR AMPA MAKAVU KAKA YAKE KUHUSU POST YA JANA…SOMA ALICHOKISEMA


DADA ADDE2 

Baada ya status ya Adebayor ambayo ilishtua watu wengi kwenye mtandao hao mchezaji Didier Drogba alimpost Adebayor na kumuombea mambo ambayo yanaenda vibaya na familia yake yaende vizuri. Sasa kwenye ile ile post dada yake Adebayor anaitwa Lucia Adebayor amemjibu akienda kinyume na status ya Ade.
Tafsiri yake kwa ufupi ni hii hapa,

“Endelea kuongopea kaka, yako wapi magari uliyompa mama. Umeyachukua yote. nyumba unayosema umemnunulia dada vyote ni uongo. Simu alizoiba Rotimi vyote ni uongo. Pesa sio kila kitu, sisi ni familia na hatukuitaji tena uwe peke yako na sisi tuwe peke yetu. Ukweli kwamba unazo sasa hivi lakini havikuhakikishi mambo ya kesho. Mungu akusamehe.”

DADA ADDE

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni