test

Ijumaa, 2 Desemba 2016

AHADI NI DENI HATIMAYE MSOMI MAARUFU DUNIANI ATIMIZA AHADI YAKE IWAPO DONALD TRUMP ANGESHINDA URAIS USA LIVE!!


Mshindi wa tuzo ya Nobel Prize katika fani ya fasihi Professa Wole Soyinka ameirarulia mbali hati yake ya "Green card" ambayo humpa kibali cha kuishi nchini Marekani mtu yoyote asiye wa nchi hiyo.

Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa tayari Soyinka amesharejea kwao Nigeria. Hatua hiyo imekuja baada Donald Trump, Rais mteule wa Marekani kushinda uchaguzi mwezi jana, Professa Soyinka aliahidi kuwa kama Trump atashinda uchaguzi basi angeirarua "green card" yake na kurejea Nigeria.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx