“Mombana nina nyumba tayari, sasa hivi nikienda nafikia nyumbani,” Alikiba alikiambia kipindi cha 360 cha Clouds TV baada ya kuulizwa na mtangazaji kama ana mpango wa kujenga nyumba au kununua.
Katika hatua nyingine muimbaji huyo amesema kinywaji chache cha Mofaya kitaingia sokoni rasmi ya siku kuu ya Eid el Fitri mapema mwezi ujao huku akishindwa kuweka wazi bei ya kinywaji hicho.
Alisema kwa sasa wametangaza deal kwa makampuni mbalimbali ambayo yatapenda kuwa mawakala wa kusambaza kinyaji hicho ambazo kimeonekana kuwa muaarufu kwa siku za karibuni.
0 comments:
Chapisha Maoni