test

Jumatano, 19 Julai 2017

Chemical Adai Nay wa Mitego ni Husband Material


Msanii wa Bongo Flava Chemical ametaja sifa za mwanaume ambaye anamuhitaji katika maisha yake pindi atakapokuwa tayari kuingia katika mahusiano.


Ingawa rapper huyo ameeleza kwa sasa yupo single, amedai anampenda mwanamume ambaye si sharobaro na wakishakubaliana akajitambulishe nyumbani kwao.

“Mimi ni msichana fulani ambaye napenda mwanaume fulani lakini sijui, unajua mapenzi hayachagui, lakini mtu fulani ambaye ni nigger hard unajua sio sharobaro, kawaida real nigger kama Nay,” ameiambia Planet Bongo ya EA Radio na kuongeza.

“Mtu anayetaka aje kwenye familia afuate process, me am still traditional girl usione nafanya hip hop ukachukulia poa. Naamni kuna perfect guy wapo soma where, kwa aje afuate process then it will be ok,” amesisitiza Chemical.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni