test

Jumatano, 14 Desemba 2016

VIDEO:HUYU NDIYE BINTI Mtanzania Aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa Kwa Kazi ya Siku 1


Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini Marekani akiwa ni Mwanamitindo mwenye umri mdogo lakini amepiga hatua kubwa kwenye kazi ya Uwanamitindo, bonyeza play kufahamu zaidi. 
 VIDEO:

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx