test

Jumanne, 13 Desemba 2016

Ujasiriamali:Kwa Hizi tabia 'hutaweza fanikiwa milele'


Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali
mara semina ya wapi sijui
mara wajaribu biashara hii na ile

lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe
hata wafanyaje...


hizi ni baadhi ya tabia hizo...


1. kutokupokea simu unapohitajika....
watu wengi wana shida sana na matumizi ya simu
unapiga wee ..hadi una ghairi....

2.kuajiri ndugu kwenye biashara....hili nalo
ni kero kuubwa...ndugu wengi hawana uchungu na biashara
wanajifayia tu..mwisho wanakufukuzia wateja

3.Kuzoeana sana na wateja hadi wanakuwa marafiki
wanakuonea aibu kukukosoa kama huduma au service sio nzuri
wanakukimbia kimya kimya

4.kujiwekea bei unayotaka bila kuangalia soko...
hili nalo linakwamisha biashara nyiingi....

5. kuwatazama watu kwa macho na kudhani wengine sio wateja...
mteja yeyote yule akija kwenye biashara yako mpe thamani yake
usije mtazama mtu ukadhani tu ni 'mpita njia'...utakimbiza wateja...

na zingine ntaongezea baadae

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx