test

Jumamosi, 1 Oktoba 2016

Wananchi wakiendelea na upandaji miti jijini Dar es Salaam leo October 1


Kaimu Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo, Joseph Alute akipanda mti katika kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipowataka wakazi wa jiji la Dar es Salaam kupanda miti kwaajili ya kutunza mazingira pamoja na kupendezesha mazingira ya jiji.

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari wakipanda mti jijini Dar es Salaam leo.
 

 Wanafunzi wakiwa wamebeba miti kwaajili ya kupanda.
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari wakipanda miti jijini Dar es Salaam leo.
baadhi ya wafanyakazi wa manispaa ya Ubungo akipanda  miti jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Yasir Adam.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx