test

Alhamisi, 15 Septemba 2016

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI JIJINI ARUSHA KUSHIRIKI UFUNGUZI WA MKUTANO WA SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING KESHO



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu  akisalimiana akisalimiana na mmoja wa viongozi wa dini mara baada ya kuwasili jijini Arusha mapema leo, 

tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho tarehe 16 Septemba 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC.Pichani kulia ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh.Mrisho Gambo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu  akilakiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh.Mrisho Gambo mapema leo mara baada ya kuwasili jijini humo tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho tarehe 16 Septemba 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx