Skip to content
Leo Paul Makonda mkuu wa mkoa wa DSM akiwa anaongea na waandishi wa habari ofisini kwake akasema watakao vunja sheria wapigwe na Polisi yeye ndoo atajibu je?
Sheria inasemaje kwa mhalifu nini umhimu wa mahakama hizi kauli zinalipeleka taifa pabaya sana viongozi tujaribuni kuchunga ndimi zetu ili tuokoa taifa hili
Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
xxxxxxxxxxxxx