test

Jumamosi, 11 Julai 2015

Breaking News: Tatu Bora ya CCM Hii Hapa.....Membe Kaenguliwa!!!



Kikao cha HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni… 

1) John Magufuli 
2) Asharose Migoro
3) Amina Salum Ali

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni