test

Jumatatu, 1 Juni 2015

MWANAMUZIKI SHETTA AIBUA TENA VITA YA MANENO KATI YA BIKIRA WA KISUKUMA NA MWAANDAJI WA INSTAGRAM PARTYZ FREECONIC IDEAS


Hawa ni marafiki wawili waliowahi kufanya kazi pamoja lkn kwasababu ya kutoelewana kibiashara wakatengana kila mmoja akaenda njia yake. Seth yeye now yuko EFM radio na Fred yuko na Freeconic Ideas kampuni yake.

Jana radio ya EFM waliandaa event ya miaka 16 ya msanii Juma Nature ambapo Bikira wa Kisukuma akaipigia kampeni kwa maneno hayo juu kuhusu kuwepo kwa msanii Shetta ukumbi Dar Live....ilionekana ni maneno ya kuudhi kwa mwenzake ambaye pia alikuwa na event ya Instagram Party na Shetta naye alikuwepo sehemu hiyo pia.

Nimechunguza pande zote mbili kuona tatizo nilichogundua hapa ni lugha ya biashara kila mmoja amvutie msikilizaji au anayehudhuria, kila mmoja kwa namna yake kufanya matangazo kuhamasisha watu kuhudhuria events zao.

Seth na Fred nyie bhana hamjakutana barabarani isifike hatua mkaanza kuwapa watu faida mtandaoni, kama kuna mtu bado ana wivu na kinyongo na mwenzake muonane muweke peace na ikibidi mshirikiane kwa mambo mengine yanayohusu events.

Mmeanza kazi kwa kuijenga IG party pamoja wakati hamna kitu mpaka hatua nyingine Seth kuweka bond gari yake ili mpewe pesa, kwa kile cheo cha afisa Masoko aliweka nguvu kubwa kutafuta masponsors ambao ndio hao hao mko nao pamoja mpaka hivi sasa na mengine mengi khs kampuni ya @freconic_ideaz Leo hii nadhan si busara kuitana kwenye mitandao nyie ni ndugu mnaweza kuonana na kuyazungumza kama kuna kitu kilibaki.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni