test

Jumanne, 2 Novemba 2021

Nafasi Mpya za Kazi 1097 Mamlaka ya Mapato-TRA... Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 4 November 2021


  VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Revenue Authority (TRA), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) invites dynamic and suitable qualified Tanzanians to fill 1097 vacant posts mentioned below._________________1. TAX MANAGEMENT OFFICER II -   NAFASI ...
Read More

Jumamosi, 22 Juni 2019

VEDIO MPYA: Simama na Mungu By Shalom band (Official video)


...
Read More

Jumanne, 19 Machi 2019

JIFUNZE ZAO LA MAPARACHICHI


Tunda hili lina faida nyingi sana, mbali ya kutumika kama zao la kiuchumi lakini pia hutumika kuimarisha afya ya mwili1. Faida za Parachichi upande wa Lishe-Tunda lina vitamini zifuatazo1. Lina Vitamini A-husaidia sana kuimarisha Macho kuona vizuri2. Lina Vitamini B (B1-B12)- Husaidia sana...
Read More

KILIMO CHA KISASA CHA MPUNGA


          Utangulizi Mpunga ni zao la pili la chakula kwa umuhimu linalolimwa sehemu nyingi nchini Tanzania. Umuhimu wa zao hili umeongezeka kuanzia muongo uliopita kutokana na jamii za mijini na vijijini kupendelea zaidi kula wali na kupunguza ulaji wa vyakula...
Read More

Jumapili, 17 Februari 2019

DAWA 6 ZINAZO TIBU TATIZO LA MWILI KUFA GANZI


DAWA MBADALA 6 ZINAZOTIBU GANZI MIKONONI NA MIGUUNI Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano ya moja kwa moja na ubongo. Ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana miaka...
Read More

DAWA MBADALA YA KURUDISHA UKE ULIO TANUKA AU KUREGEA


 Jinsi gani ya kukaza uke au ni namna gani kufanya uke uwe mdogo tena ni mada au somo lisilopendwa kuzungumzwa na watu wengi. Ikiwa wewe ni mmoja wa waathirika na tatizo hili basi tumia muda wa kutosha kusoma makala hii sasa hivi, irudie mara nyingi mpaka umeielewa. Kwenye makala hii nakwenda...
Read More

Mbinu 10 za kuongeza mbegu za kiume (sperm count)


Mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha anahitaji kuwa na mbegu zisizopungua milioni 20, chochote chini ya hapa kinaweza kuwa sababu ya kutokutungisha ujauzito. Ikitokea umegundulika kuwa na mbegu chache, ni nyepesi sana na hazina nguvu za kukimbia vya kutosha basi makala hii itakupa maelezo juu ya mbinu...
Read More

Kwa wewe mwanaume mwenye tatizo la kufika kileleni haraka kabla mpenzi wako hajaridhika


Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake. Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa...
Read More

VYAKULA 7 VINAVYO ONGEZA NGUVU ZA KIUME


Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Ni jambo linaloweza kupata ufumbuzi kwa urahisi kama utazingatia kula vizuri na kufanya mazoezi. Ili...
Read More