test

Alhamisi, 10 Mei 2018

Dogo Janja achora Tattoo ya Irene Uwoya kwenye kwapa


Kama mwezi tangu umepita Irene Uwoya alipoamuakuchora tatoo ya mume wake dogo janja kwa kuandika jina la Abdul ambalo ndio jina halisi la msanii huyo, mwanamuziki huyo nae ameamua kumjibu mke wake kwa kuchora tatoo  kwenye kwapa.

Kuchora tattoo inaweza isiwe ishu, stori ni eneo ambalo tattoo yenyewe imechorwa si kawaida. Kupitia Instagram Dogo Janja ameweka picha hiyo na kuandika; I made this infinity Promise for you @ireneuwoya8 #NoMoreDrama🌹.

Dogo Janja na Irene Uwoya waliripotiwa kufunga ndoa November 25, 2017, hata hivyo ni vigumu kutaja tarehe kamili kutokana na namna walivyoliweka suala hilo hasa kwa upande wa vyombo vya habari na mitandao.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni