Mawaziri
wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye amehudhuria katika
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kufuatilia hatma ya kesi ya viongozi 6
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) wakiongozwa na
Mwenyekiti Freeman Mbowe kama watapata dhamana au wataendelea kusota
rumande.
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V
Miezi 9 iliyopita




0 comments:
Chapisha Maoni