test

Jumatatu, 30 Januari 2017

Picha: Wachimbaji 15 waliofukiwa mgodini Geita waokolewa wakiwa hai


Wachimbaji 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa RZ Nyarugusu mkoani Geita wameokolewa wote wakiwa hai.

Wachimbaji hao wameokolewa leo asubuhi baada ya jitihada za uokoaji kufanyika kwa muda mrefu. Matumaini ya kuwapata watu hao yaliongeza jana usiku ambapo walituma ujumbe kwenye karatasi kuwa wapo 15 na kuorodhesha mahitaji yao

Taarifa za kufukiwa kwao zilizeleza kuwa miongoni mwa waliofukiwa ni pamoja na raia mmoja wa China.Mgodi huo unamilikiwa na mwekezaji kutoka nchini China.

Picha za zoezi la uokoaji lilivyofanyika

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx