test

Jumanne, 13 Desemba 2016

VIDEO: Tazama Hapa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM -NEC Kilivyofanyika pamoja na Maneno yaliyozungumzwa na Rais Maguful



Kikao cha halmashauri kuu ya Taifa ‘NEC’ ya chama cha mapinduzi ‘CCM’ kimekutana leo December 13 2016 ikulu jijini Dar es salaam ikiwa ni kikao cha kwanza kuongozwa na Rais Magufuli tangu achaguliwe kukiongoza chama hicho tawala July mwaka huu. 
Hii ni video nzima  jinsi kikao hicho kilivyokuwa

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx