Skip to content
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika jana tarehe 07
Desemba Ikulu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa.
Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
xxxxxxxxxxxxx