test

Alhamisi, 22 Desemba 2016

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AMWAPISHA MKUU MPYA WA WILAYA YA UBUNGO


 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda (Kulia) Akimwapisha Mkuu Mpya wa Wilaya ya Ubungo Mh Kisare Makori Mh Makori anachukua nafasi ya Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mh Humphery Polepole Aliyteuliwa Kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi.


 Mh Makonda akiwa katika Picha ya Pamoja na Ndugu  wa Mkuu wa wilaya ya Ubungo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Makonda akiwa Pamoja na Mkuu wa wilaya ,Mkurugenzi Pamoja na DAS wa Wilaya ya Ubungo.
  Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Ubungo wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Mkuu wa Mkoa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Makonda Akiwa Katika Picha ya Pamoja na Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx