test

Jumanne, 22 Novemba 2016

WAJUE MAADUI WA RC MAKONDA


MKUU mkoa wa Dar es Salaam amewataja watu ambao huenda kwa namna moja au nyengine watamchua  na yeye.


 maadui hao ni mashoga, wala rushwa, watendaji wazembe , wauza shisha na watu ambao wanaenda kinyume na haki.
hapa makonda ameweka wazi kuwa hawezi kuwavumilia wafanyakazi mizigo na kwamba kuna utaratibu utakowaondoa watumishi mizigo  

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx