test

Jumatano, 16 Novemba 2016

MEYA WA ARUSHA AKUBALI UTENDAJI WA MTEUZI WA RAIS MAGUFULI



MSTAHIKA meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazoro akubali na kupungeza  utendaji wa mteuzi wa Rais John Magufuli Mkurugenzi wa Jiji hilo Athumani Kihamia.

Meya huyo ameridhiswa na majibu ya mkurugenzi huyo ambayo yalikuwa yanamantiki.
Meya Lazoro amethibitisha hayo leo katika Kikao cha Baraza la Madiwani Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Kalisti Lazaro Bukhay amempongeza Mkurugenzi Kahama na  Menejiment ya Manspaa hiyo kwa  kujibu vyema hoja Za kamati ya Bunge ya Hesabu Za Serikali Za Mitaa.
Lazaro alichaguliwa kuwa Mstahiki meya wa Jiji Hilo kupitia Tiketi ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx