test

Jumatano, 21 Septemba 2016

TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE MABINGWA CECAFA



Kilimanjaro Queens wa Tanzania ndio mabingwa wa Cecafa upande wa kina dada 2016 baada ya kulaza Harambee Starlets wa Kenya 2-1 mjini Jinja, Uganda.
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Mwahamisi Omar dk 28, 45, Kenya limefungwa na Christina Nafula.
Tanzania walifika fainali baada ya kuwalaza wenyeji Uganda 4-1 mechi ya nusu fainali.

Kenya walifika fainali kwa kuwalaza Ethiopia 3-2.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx