test

Ijumaa, 16 Septemba 2016

Tecno Phantom 6 Inaweza Kuwa Simu Nyembamba Kuliko Zote....Wamewezaje?? Bofya Hapa


UNAFIKIRI TECNO MPYA INAYOTARAJIWA KUTOKA HIVI KARIBUNI INAWEZA KUWA SIMU NYEMBAMBA KUSHINDA ZOTE?
 
Mwezi wa 9 (Septemba) ukiwa ukingoni kuelekea mwezi wa 10 (Oktoba) hali imekuwa ikipamba moto huku TECNO Phantom mpya ikiwa mbioni kuzinduliwa.
 
Wakati tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa mwezi Septemba mwaka huu (2016), yote yamebaki kuwa fununu tu kama ushahidi ikifananishwa sawa na kupigilia msumari kichwani. Swali lililobaki ni, TECNO Phantom 6 au 6+ itabaki kuwa smartphone nyembamba kushinda zote? 
Tukiwa bado hatuna picha kamili juu ya muonekano wake halisi, makisio yamebaki kuwa ya kubahatisha tu. Binafsi, nasubiri kwa hamu uzinduzi rasmi wa toleo hili. Kwa fununu na uvumi unaosambaa kuna uwezekano Tecno Phantom 6 ikawa ndio smartphone nyembamba kutengenezwa?

Kama fununu hizi ni za kweli, swali linabaki kuwa, ni vipi wameweza kufanya hivyo?

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx