test

Alhamisi, 22 Septemba 2016

Mabadiliko ya EURO 2020 yaliotangazwa na UEFA leo Septemba 21


Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA leo Septemba 21 2016 limetangaza mabadiliko maalum ya michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya (EURO2020) litakalofanyika mwaka 2020, UEFA wametangaza mabadiliko ya sehemu ya michuano hiyo itakayofanyika.

Tofauti na miaka ya nyuma michuano hiyo huwa inachezwa katika taifa moja ambalo huchaguliwa mapema na kuwa mwenyeji, safari hii michuano ya Euro 2020  itafanyika katika miji 13 barani Ulaya, lengo likiwa ni kusherehekea miaka 60 ya michuano hiyo.
image
Mwaka 2020 michuano ya Euro itakuwa inatimiza miaka 60 toka kuanzishwa kwake mwaka 1960, ni miji 13 ya nchi 13 barani Ulaya ambayo itakuwa mwenyeji, miji iliyotajwa ni Munich, BakuRomeSt PetersburgBrusselsCopenhagenBudapest,Amsterdam, DublinBucharestGlasgowBilbao na London.

 host cities ðŸ—º

Munich
Baku
Rome
St Petersburg
Brussels
Copenhagen
Budapest
Amsterdam
Dublin
Bucharest
Glasgow
Bilbao
London

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx