test

Ijumaa, 15 Julai 2016

TAZAMA Picha Tano za Harusi ya Mwanasiasa ZITTO KABWE Iliyofanyika Zanzibar Jana


Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe jana aliuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote zilifanyika Zanzibar.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx