test

Jumapili, 17 Julai 2016

Sauti: Augustino Mrema azungumzia hatua ya Rais kumteua na hatma yake ndani ya TLP


Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party, Augustino Lyatonga Marema amezungumzia hatua ya Rais Magufuli kumteua kuwa Mwenyekiti wa Parole Taifa na kuwa ni ipi hatma yake ndani ya TLP.

Kumsikiliza Mrema akiongea, bonyeza hapo chini

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx