test

Jumamosi, 6 Juni 2015

MAKUBWA:ETI KUMBE MALKIA WA UINGEREZA BADO ANADUNDA HADI BBC WALIJUA AMEKUFA.??SOMA HAPA>>


Shirika la habari la Uingereza liliamini malkia Queen Elizabeth aliyezaliwa 1926 amefariki dunia.Amejitokeza hadharani katika ukumbi wa Royal Albert Hall tukio la WI nakukata keki akisaidiwa na Sophia na Anne.Queen Elizabeth mwenye umri wa miaka 89 amekua mnyonge kwa muda sasa kutokana na maradhi.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni