test

Jumatatu, 11 Juni 2018

KUFURU:Gari Mpya Aina ya BMW ya Milioni 200 yatumika Kama Jeneza


Leo June 11, 2018 Mwanaume mmoja anayejulikana kama Azubuike Raia wa Nigeria amewashangaza wengi baada ya taarifa zake kusambaa kwenye mtandao wa Facebook kwamba amemzika baba yake huku akitumia gari aina BMW kama jeneza.

Kwa mujibu wa duru za kuaminika zinasema kwamba gari hilo lina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 200 za kitanzania ambalo limefukiwa chini kama jeneza ndani ya kaburi.

Aidha Mazishi hayo yalifanyika wikiendi iliyopita katika Mkoa wa Anambra nchini Nigeria ambapo ndipo yalipokuwa makazi ya baba wa Azubuike.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni