Kwa mujibu wa duru za kuaminika zinasema kwamba gari hilo lina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 200 za kitanzania ambalo limefukiwa chini kama jeneza ndani ya kaburi.
Aidha Mazishi hayo yalifanyika wikiendi iliyopita katika Mkoa wa Anambra nchini Nigeria ambapo ndipo yalipokuwa makazi ya baba wa Azubuike.
0 comments:
Chapisha Maoni