test

Jumatano, 5 Oktoba 2016

PICHA 10 : Serengeti Boys walivyowasili Dar es Salaam kinyonge!!!


Timu ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys iliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere usiku wa October 4 2016 ikitokea Congo Brazzaville ilipokwenda kucheza mchezo wake wa maruadiano.

img-20161005-wa0006
Serengeti Boys waliwasili Dar es Salaam wakitokea Congo Brazzaville baada ya kucheza mchezo wao wa marudiano wa kuwania kufuzu kwa mataifa ya Afrika kwa wenye umri chini ya miaka 17 ambayo yatafanyika 2017 Madagascar, baada ya kufungwa goli 1-0.
img-20161005-wa0004
Vijana hao ambao wametolewa kwa kufungwa magoli mengi nyumbani walienda Congo wakiwa na ushindi wa goli  3-2, hivyo kufungwa goli 1-0 kunawafanya watolewe kwa kigezo cha kuruhusu kufungwa magoli mengi nyumbani licha ya kuwa aggregate inasomeka 3-3.
img-20161005-wa0018
img-20161005-wa0017
img-20161005-wa0015
img-20161005-wa0016
img-20161005-wa0013
img-20161005-wa0010
img-20161005-wa0012

img-20161005-wa0007



ALL GOALS YANGA VS SIMBA

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx