test

Ijumaa, 7 Oktoba 2016

Mtu mmoja adaiwa kupoteza maisha katika ajali iliyohusisha Magari matatu Mkoani Dodoma



 Ajali hii imetokea leo katika eneo la Emaus, Mkoani Dodoma ambapo imehusisha gari kubwa mbili na moja dogo aina ya Toyota Noah. Inadaiwa kuwa Mtu mmoja amepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika mpaka sasa.Taarifa kamili tutakufahamisha kesho asubuhi.

 Askari Polisi wakiwa eneo la tukio kuokoa majeruhi.


Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx