test

Alhamisi, 27 Oktoba 2016

MAFANIKIO YA KIUCHUMI KUTOKANA NA JITIHADA MBALI MBALI ZILIZOFANYWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA - BENKI KUU YA TANZANIA


 

GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA PROFESA BENNO NDULLU


Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, alipoingia madarakani mwezi Novemba 2015 aliendeleza jitihada za kukuza uchumi wa nchi yetu kwa kuweka mkazo na kutoa maagizo kwenye maeneo kadhaa.

Maeneo hayo ni pamoja na; kuongeza nguvu kwenye ukusanyaji wa kodi, kupiga vita rushwa, kuweka msisitizo mkubwa wa nidhamu ya matumizi ya fedha za umma, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuelekeza matumizi katika sekta za vipaumbele vya maendeleo. 
Aidha, kuzitaka Wizara, Wakala na Taasisi za Umma kuweka fedha zao Benki Kuu na kuhimiza kila mtu afanye kazi na kula kwa jasho lake ili kutekeleza falsafa ya ‘Hapa kazi tu’. 


Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx