Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo October 2 2016 amefanya ziara ya kwenda kumjulia hali kijana Saidi Ally aliyevamiwa na mtu anayedaiwa kuwa ni kibaka katika maeneo ya Buguruni Dar es salaam na kisha kumtoboa macho Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi xxxxxxxxxxxxx