Wakali kutokea kiwanda cha Bongofleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumzpamoja na Raymond a.k.a Rayvanny wakitokea katika Laber ya WCB leo September 18 2016
wanayofuraha kushare na sisi mdundo wao mpya unaoitwa ‘Salome‘ Tayari nimekusogezea hapa chini video yao, ukimaliza
kuitazama niachie comment yako kuniambia wametisha kwa asilimia ngapi.
wanayofuraha kushare na sisi mdundo wao mpya unaoitwa ‘Salome‘ Tayari nimekusogezea hapa chini video yao, ukimaliza
kuitazama niachie comment yako kuniambia wametisha kwa asilimia ngapi.