test

Jumapili, 11 Septemba 2016

Picha na Video: Diamond Akusanya Kijiji Mombasa


Mkali wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz ameendelea kuonyesha umwamba wake nchini Kenya katika show iliyofanyika Mombasa Jumamosi hii na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri Afrika pamoja na kimataifa, ameendelea kudhihirisha ukubwa wake baada ya show yake kuhudhuriwa maelfu wa mashabiki.


Kupitia instagram yake, Diamond aliandika “It’s 4:35 am now in East africa… am now going to sleep then right after waking up, will start posting my all Mombasa show Pictures…. thanks,”

Angalia video:

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx