test

Alhamisi, 22 Septemba 2016

Picha: Diamond, Rayvanny, Babu Tale na Sallam ndani ya ‘tumepodoka’, utafurahi walichoandika mashabiki



Jumanne hii ilisambaa picha katika mitandao ya kijamii ikiwaonyesha wasanii pamoja na viongozi wa WCB, Diamond, Rayvanny, Babu Tale pamoja na Sallam wakiwa katika hali ya kujipodoa hatua ambayo imechukuliwa kama ni njia ya kupromote wimbo mpya wa Diamond, Salome.
Diamond alipost picha hiyo instagram na kuandika ujumbe ‘Kioo hakidanganyi Mama wametupodoa tumepodoka’ ambao ni sehemu ya mashairi ya wimbo wake mpya ‘Salome’.
Hata hivyo mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya picha hiyo huku wengine wakiwashindanisha ni nani amepodoka zaidi. Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki hao.

Chrissnalimi_tz

Hahahahaahh @diamondplatnumz kama zari…. amakweli wanaosema mkikaa katika mahusiano kwamuda mrefu mnafanan,leo nimejionea umefanana na Mama tiffah


Bebe_swtkichuna

@babutale umenogaaa maana kila nikizunguk nikija kwenye hii picha nakufa mbavu hahahahha

Lizzoplatnumz4
Platnumzzz hayo Machooooo kodoooo wajinyongeee c c tutakodoa Wcb
Mac_mugan
Duuuuuuuu Ushoga sasa umekubalika rasmi WCB


Salym_el_baajun

Km nikiambiwa hapo dem gan mkali mi namchagua babu tale.Wcb you’re genius, yani Mme convert hate to love hahahaha
Bellahpeter
Ha ha ha ha this one here has just made my day. Whoever dd this he/ she deserves a big around of applause


Horothjabu

Hahaaaaaahaha wabongo kwa kuunganisha vitu hawajambo haaaa babu tale katisha


Muddyramadhani

Salam km gea habib
Caiserchristian
@tyner_de_real baby njoo umuone @sallam_sk kama nsyuka @babutale jini kabula akalale lol Aliye fanya hiv jaman alikua anawaza nin cjui ila hii picha imenipa had usingiz watu wana roho mbaya mwone sasa chibu wa watu maskin

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx