test

Jumanne, 5 Julai 2016

Mufti Mkuu wa Tanzania Atangaza mwezi kuandama na Sikukuu kuwa kesho


Mufti Mkuu wa Tanzania ametangaza kuwa kesho ni sikukuu ya Kusherehea Eid El Fitri Baada ya Mwezi Kuoneka sehemu mbali mbali Tanzania.
Amewatakia waislamu wote sikukuu njema na kuwataka kusherehekea kwa amani na utulivu.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx