test

Alhamisi, 3 Septemba 2015

Wananchi watakiwa kutoyumbishwa na siasa nyepesi zenye lengo la kuwavuruga.


 
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA umetaka wananchi kutozikubali siasa nyepesi zenye lengo la kuwatoa kwenye msimamo wa kata kufanya mabidiliko yatakayosaidia kuleta ukombozi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti mwenza wa umoja katiba ya wananchi-UKAWA- Bwana James Mbatia ametaka wananchi kutozikubali hoja zenye lengo la kutaka kulipasua taifa badala ya kujenga hoja zenye kulete maridhiano ya kitaifa.
 
Akizungumzia tuhuma za rushwa na ufisadi zinazotolewa kwa muda mrefu kwa mgombea urais wa chama cha demokrasia na maendeleo Bwana Edward Lowassa, Bwana James Mbatia amesema. 
 
Amesema hoji sababu za kutofiksihwa katika mikono ya sheria baada au kabla ya kujihudhuri wadhifa wa waziri mkuu ili kujibu tuhuma zinazomkabili kwa kuwa sheria za nchni hazitoi kinga kwa waziri mkuu kutofikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni